Menyu

Kiswahili

Utamaduni mpya ulijitokeza uliokuwa Kiafrika na Kiislamu ukajielewa kuwa sehemu ya dunia ya Uislamu.

SWAHILI HUB

BLOGU YA KISWAHILI KWA AJILI YA KUSAFISHA FIKRA ZA WAAFRIKA!

DUNIYA MTI MKAVU

Kiumbe siulemee kamwe... Likuondokealo, lina heri nawe.

CHINI YA SHAMSHI

Mjomba'ngu Shamshi Kuzaliwa kwangu kulifululizwa na majonzi yas’o kuwa na mfano. Hili si ada kwa wana wengi duniani. Na kama ilivyokuwa kawaida katika jamii za kwetu Raha, waliniona mwenye shari hivyo kunipa jina Tabu. Japo haya si kuyanga’mua papo kwa hapo, niliyafahamu mtuo kwa mtuo kadri miaka ilivyozidi kuporomok...

Said Ahmed Mohammed

Uamuzi wa kuchagua hadithi zilizoandikwa kwa Kiengereza kufasiriwa kwa Kiswahili, ulitokana na Macmillan wenyewe. Nao walizichagua hadithi hizo kwa ubora wa hadithi zenyewe na umaarufu wa waandishi wenyewe.

Swahili Hub

Lugha Tukufu ya Kiswahili


Historia ya Kiswahili

Maeneo penye wasemaji wa Kiswahili
Historia ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye pwani la Afrika ya Mashariki.
Neno Swahili ni neno la asili ya Kiarabu Sahil lenye maana ya pwani; sawahil ’’as-sawāhilī’’ (السواحلي) ni wingi wake kwa kumaanisha yote yanayohusiana na pwani, watu au utamaduni wa eneo la pwani.
Yaliyomo  [ficha]
1 Mwanzo katika miji ya pwani
2 Lugha ya biashara
3 Kiswahili wakati wa ukoloni
4 Kiswahili leo
Lugha ni?

Wanamziki


Mwanamuziki wa kike wa nyimbo za kiinjili.

Rose Muhando ambaye hujulikana pia kwa jina la Rose Muhando;amezaliwa mwaka 1976 katika kijiji cha Dumila, Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, nchini Tanzania) ni msanii maarufu wa muziki wa injili katika lugha ya swahili katika kanda ya Afrika Mashariki.

Waandishi Mashuhuri wa Vitabu


Said Ahmed Mohammed



Uamuzi wa kuchagua hadithi zilizoandikwa kwa Kiengereza kufasiriwa kwa Kiswahili, ulitokana na Macmillan wenyewe. Nao walizichagua hadithi hizo kwa ubora wa hadithi zenyewe na umaarufu wa waandishi wenyewe. Hadithi zilizochaguliwa ni Tropical Fish (Samaki wa Nchi za Joto) iliyoandikwa na Doreen Baingana kutoka Uganda, The Madman (Kichaa) iliyoandikwa na Chinua Achebe kutoka Naijeria, na In the Cutting of a Drink (Katika Kutiliwa Kinwaji) iliyoandikwa na Ama Ata Aidoo kutoka Ghana. Hadithi ya Muhammed Said Abdulla” Mke Wangu” ambayo ni hadithi ya zamani sana iliazimwa kutoka katika kitabu fulani cha Rüdder Köpper Verlag ambayo iliwaruhusu kuichapisha katika mkusanyo wetu.

Hadithi




Wosia Wa Babu

Furaha iliyo’je kuwa kwenye kigonda changu  wakati kama huu wa magharibi?. Ha! Ha! Ha!... Siniulize mbona nimekenua ‘ivo, ipo siku katika umri huu wangu, utaijua sababu. Eti watamani kujua sasa ‘ivi?, aha! basi ni hivi, wapo wenye imani kuwa kuishi ni lazima almuradi keshazaliwa. Kubugia chumvi si sheria. Ni kwa kudura zake tu Rabana. Kupata dakika ‘izi za kusema nanyi wajukuu wangu, si kwa umri wangu, si kwa uwezo wangu, si kwa utajiri wala uchochole wangu. Ni majaliwa yake Jalali!.http://visauswahilini.wordpress.com/2012/02/20/kisa-changu/
Pendo la siri.

Makala


Yuko ambaye hajui na hajui kuwa hajui. Huyu ni banadamu ambaye kwake hakuna anachokijua hata kidogo, lakini siyo kwa kosa lake ila bado hajajuzwa juu ya mambo. Kwa jina la karibu twaweza kumwita Mjinga. Ujinga siyo tusi ila tafsiri yake ni mtu yeyote ambaye hafahamu wala hajui chochote. Kwa mfano, wewe kama hujui kitu chochote basi ni mjinga na ukumbuke kuwa ujinga siyo tusi. Lakini pamoja na hayo yote, binadamu wa sampuli hii, huwa hasemi asiyoyajua. Mintaarafu, ukikutana na binadamu wa namna hii ujue kuwa ni mjinga na anahitaji msaada ili kuyajua mambo. Mjinga!!!